Bwana U Sehemu Lyrics – Elizabeth Nyambura
Bwana u sehemu yangu rafiki yangu wewe Katika safari yangu tatembea na wewe Pamoja na wewe pamoja na Wewe Katika safari yangu tatembea na wewe Mali hapa sikutaka ili niheshimiwe Na yanikute mashaka sawasawa na wewe Pamoja na wewe pamoja na wewe Heri nikute mashaka sawasawa na wewe Niongoze safarini Mbele unichukue Mlangoni mwa Mbinguni … Read more