[Swahili]

Mungu anaketi katikati ya sifa
Tukiimba Mungu anashuka
Mungu anaketi katikati ya sifa
Tukiimba Mungu anashuka eeh
Imba imba imba
Ukiimba Mungu anashuka
Imba imba imba
Ukiimba Mungu anashuka kukuletea
Majibu ya tatizo lako wee

Imba imba imba
Ukiimba Mungu anashuka
Imba imba imba
Ukiimba Mungu anashuka kukuokoa
Imba imba imba
Ukiimba Mungu anashuka kukuponya

Ipo siri katika kuimba wengi hawajui
Tukiimba Mungu anashuka
Kuna siri kwenye nyimbo wengi hawajui
Tukiimba wagonjwa wanapona aah
Ukitaka kuomba imba kwanza
Tukiimba Mungu anafurahi mbinguni
Imba imba imba
Hata kama uko majaribuni
Imba imba imba
Hata katikati ya mapito

Imba imba imba
Ukiimba Mungu anashuka
Imba imba imba
Ukiimba Mungu anashuka kukuokoa
Imba imba imba
Ukiimba Mungu anashuka kukuponya

Ukuta wa Jericho uliangushwa na nyimbo
Waliimba Mungu alishuka aah
Paulo na Sila walishinda kwa nyimbo
Waliimba milango ya gereza ikafunguka
Imba imba imba
Ukiimba matatizo yaondoke nyumbani mwako
Imba imba imba
Ukiimba Mungu anashuka kukuokoa, imba weeh

Futa machozi wewe imba
Imba imba imba (acha kulia)
Ukiimba Mungu anashuka
Imba imba imba (anza kuimba)
Ukiimba Mungu anashuka kukuokoa
Imba imba imba
Ukiimba Mungu anashuka kukuponya

Usiwaze tafuta kitabu cha tenzi
Anza kuimba wee
Imba imba imba (Imba nyimbo za tenzi)
Ukiimba Mungu anashuka
Imba imba imba
Ukiimba Mungu anashuka kukuokoa
Imba imba imba
Ukiimba Mungu anashuka kukuponya
Imba nyimbo za tenzi
Mungu atashuka kuleta majibu ya tatizo lako wee

Eh Mungu wa Mbinguni umetusikia
Tumeimba tunaomba shuka
Shuka shuka shuka
Tumeimba Mungu wetu Shuka
Shuka shuka shuka
Tumeimba Mungu wetu Shuka utuokoe
Shuka shuka shuka
Tumeimba Mungu wetu Shuka utuponye

Song by Bony Mwaitege