[Swahili]

Bahati Tena
Furahi yote Baba naitoa moyoni,
Na nifurahi yote kwako husikie hewani.
oooh, Ni barua ngapi nimeandika kwa njia mziki.
Na nyimbo ngapi nimeandika zisizo za riziki.
Ni barua ngapi nimeandika kwa njia mziki.
Na nyimbo ngapi nimeandika zisizo za riziki

Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
Nikikuita daddy
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
Nikikuita daddy

Nikufunga nikafunga ila siri sitaki wajue,
samahani nikaomba magoti nisikuzungue.
Nikufunga nikafunga ila siri sitaki wajue,
samahani nikaomba magoti nisikuzungue

Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
Nikikuita daddy
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
Nikikuita daddy

Barua yangu ya mapenzi nimeona niimbe.
Barua yangu ya mapenzi nimeona niandike.
Barua yangu ya mapenzi nimeona niimbe.
Barua yangu ya mapenzi nimeona niandike

Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
Nikikuita daddy
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
Nikikuita daddy

Oh Kama mapenzi, msalabani ulifanya zaidi.
Na Kama kipaji, kwa burudani umekuwa nami.
Oh Kama mapenzi, msalabani ulifanya zaidi.
Na Kama kipaji, kwa burudani umekuwa nami

kuna wengi mjini wanadai mapenzi, kumbe walaghai.
Wanabadili kama kinyonga, kamwe hawafai.
kuna wengi mjini wanadai mapenzi, kumbe walaghai.
Wanabadili kama kinyonga, kamwe hawafai

Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
Nikikuita daddy
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
Nikikuita daddy

Barua yangu ya mapenzi nimeona niimbe.
Barua yangu ya mapenzi nimeona niandike.
Barua yangu ya mapenzi nimeona niimbe.
Barua yangu ya mapenzi nimeona niandike

Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
Nikikuita daddy
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
Nikikuita daddy
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
Nikikuita daddy
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
Nikikuita daddy

Song by Bahati