Kuwa yeye Bwana aitaye
Siku za mwisho mabaya kote
Aliyeitwa kuwa shahidi
Kwa waliopotea njia

Kutumika kama chombo
Waone wajue
Ni mwaminifu kwa ahadi
Alizoweka Yesu

Anarudi tena, Yesu anarudi tena
Utukufu hallelujah
Tumbariki tumwinue
Sifu Bwana anarudi tena

Walisema tusihofu, yuaenda Yesu
Na yeye anakoenda nyumbani atuandalia
Wakati unaofaa asubuhi saa sita usiku
Anarudi atufikishe kule, yeye

Anarudi tena, Yesu anarudi tena
Utukufu hallelujah
Tumbariki tumwinue
Sifu Bwana anarudi tena

Yesu Kristo anarudi mwanakondoo
Baba mwana roho yeye ni …
Aja mawinguin na ukuu, na enzi
Sifu Bwana, sifu Bwana

Hallelujah, Hallelujah
Utukufu nasema
Utukufu hallelujah
Tumbariki tumwinue
Sifu Bwana anarudi tena

Hallelujah, Hallelujah
Utukufu hallelujah
Tumbariki tumwinue
Sifu Bwana anarudi tena

Kila siku najiandaa
Kwa sherehe za furaha
Sifu Bwana anarudi tena

Kila siku najiandaa
Kumlaki mawinguni
Sifu Bwana anarudi tena

Naweka yote shwari nisije chelewa
Sifu Bwana anarudi tena
Naweka yote shwari nisije chelewa
Sifu Bwana anarudi tena

Song by Eunice Njeri