Hutendeka Kwa Wema Lyrics – Mercy Linah

[Swahili] Najipa moyo katika Bwana najua Yote hutendeka kwa wema katika yale yote mimi napitia Yote hutendeka kwa wema Hata nipite katika katikati ya moto Sitaogopa Yote hutendeka kwa wema Mimi ninaye Baba aliye pamoja nami kila wakati Yote hutendeka kwa wema Katika mambo yote Mungu hufanya kazi na kuifanikisha Wowowoo pamoja na wote wampendao … Read more

Huniogoza Lyrics – Mercy Linah

[Swahili] Huniongoza Mwokozi, ndipo nami hufurahi Niendapo pote napo, ataniongoza papo Huongoza hunishika, kwa mkono wa hakika Nitaandamana naye Kristo aniongozaye Pengine ni mashakani, nami pengine rahani Ni radhi ijayo yote, yupo nami siku zote Huongoza hunishika, kwa mkono wa hakika Nitaandamana naye Kristo aniongozaye Mkono akinishika, kamwe sitanung’unika Atachoniletea, ni tayari kupokea Huongoza, hunishika … Read more

Wa Ajabu Lyrics – Mercy Linah

[Swahili] Ewe mungu wa miungu, umetukuka, Muumbaji wa vyote duniani na mbingu, Tunaa kuinamiya x2 Chorus Wa ajabu wewe wa ajabu Mfalme wa wafalme, Mwenye enzi tunakuabudu Utukufu na heshima, kwako eeh we mungu, Pia nguvu na shukrani, kwako ewe mungu Wa ajabu wewe wa ajabu Mfalme wa wafalme, Mwenye enzi tunakuabudu Mtakatifu mwaminifu, Tunakuinamia, … Read more

Nashukuru Lyrics – Mercy Linah

[Swahili] Umenipa uhai baba nafasi nyingine ya siku mpya. Baaaabaaaa, Nashukuruuu. Umeniponya roho na mwili tabibu wa ajabu wewe yesu. Babaaaaa, Nashukuruu Umeondoa laana kabadilisha kuwa baraka. Baba, Nashukuru. Kilio changu ewe yesu kabadilisha kuwa furaha. Baba, nashukuru. Kwa moyo wangu wote. Nasema asante kwako Messiah Nashukuru Nilipokuwa mnyonge baba umekua nguvu yangu. Babaa, Nashukuru … Read more