Hutendeka Kwa Wema Lyrics – Mercy Linah
[Swahili] Najipa moyo katika Bwana najua Yote hutendeka kwa wema katika yale yote mimi napitia Yote hutendeka kwa wema Hata nipite katika katikati ya moto Sitaogopa Yote hutendeka kwa wema Mimi ninaye Baba aliye pamoja nami kila wakati Yote hutendeka kwa wema Katika mambo yote Mungu hufanya kazi na kuifanikisha Wowowoo pamoja na wote wampendao … Read more