Kando Ya Mito (By the Rivers) Lyrics by Christina Shusho

(Sung in Swahili – A Psalm) Kando ya mito, ya Babeli (By the rivers of Babylon)Ndipo tulipoketi ( There ee sat)Tukalia, tulipokumbuka, kumbuka Sayuni (And there we wept) Katika miti iliyo, katikati yake (There among the trees)Tulivitundika, vinubi, vinubi vyetu (We hung our harps)Maana huko, waliotuchukua, mateka, walitaka (For there our captors demanded)Tuwaimbie, na walituonea, … Read more

Agano Lyrics by Christina Shusho

[In Swahili] Refrain:Ufanye imara, agano (Fulfill your covenant)Ufanye imara, agano (Fulfill your covenant)Eh Bwana (Oh Lord) Ufanya hima, na agano (Make haste with the Covenant)Nami, ewe Bwana (With me, Lord) (Refrain) ‘tangulie Bwana (Go before me Lord)Tengeneza palipo paruzwa (Prepare a path before me)Oh Bwana, nisaidie (Oh Lord, help me) (Refrain) Kama ulivyo tembea nami … Read more

Uko Sawa Lyrics by Alarm Ministries

YouTube video [(Tanzania) In Swahili] Refrain:Uko sawa Mungu wangu (You remain the same my God)Mchana usiku, wewe uko sawa tu (Morning and evening, You remain the same)Safarini hukuniacha (You did not abandon me in the journey)Majaribuni, umenishika mkono (You held my hand) (Repeat) Mi najua mawazo unayoniwazia (I know the thoughts You have about me)Ni … Read more

Lala Salama (Magufuli) Lyrics – Tanzania All Stars Feat. Diamond Platnumz, Christina Shusho, Jux

Mbosso: Nalifuta chozi kushoto Kulia latiririka Maumivu moyo wa moto Nafsi yatatarika Vilio wakubwa watoto Viyowe zinasikikika Wachonge zetu changamoto Wapi zitashikika Christina Shusho: Umelala iyoo, baba umelala wee Nenda we Magufuli nenda wee Tulikupenda Mungu kakupenda zaidi Baba nenda wee, baba nenda wee Jux: Yaani baba (Baba) Tutakukumbuka kwa mazuri yako Sema baba (Baba) … Read more

Unikumbuke Lyrics – Christina Shusho

Unikumbuke Baba Unapowazuru wengine naomba unikumbuke Usinipite Yesu Unapowazuru wengine naomba unikumbuke Unikumbuke Baba Unapowazuru wengine naomba unikumbuke Usinipite Yesu Unapowazuru wengine naomba unikumbuke Unikumbuke, unikumbuke Unikumbuke, unikumbuke Yesu naomba unikumbuke Usinipite, usinipite Usinipite, usinipite Yesu naomba unikumbuke Mnyonge mimi dhaifu mimi, unikumbuke Na mama utaka kunyonyesha, umkumbuke Ona huyo asiye na kazi, mkumbuke Lazima … Read more

Baba Yangu Lyrics – Christina Shusho

Eh Baba yangu Baba yangu, Mungu wangu Nakupenda, nakupenda Eeh Baba yangu Baba yangu, Mungu wangu Nakupenda, nakupenda Umeniokoa, baba yangu Umenisamehe dhambi, Mungu wangu Kweli nakupenda, nakupenda Nikitazama dunia jinsi ulivyoiumba Nikitazama milima jinsi ulivyoiweka Nikitazama bahari jinsi ulivyoiweka Wanyama milimani, samaki baharini Na ndege wa angani umenipa mi nitawale Wanyama milimani, samaki baharini … Read more

Kitu Gani Lyrics – Christina Shusho

Kitu gani kinitenge nawe Yesu Kitu gani kinitoe kwako Je ni dhiki sikuja na kitu duniani Je ni uchi nalizaliwa uchi Je ni njaa wengine wanakufa nayo Hakuna cha kunitenga nawe Kitu gani kinitenge nawe Yesu Kitu gani kinitoe kwako Je ni dhiki sikuja na kitu duniani Je ni uchi nalizaliwa uchi Je ni njaa … Read more

Muimbieni Bwana Lyrics – Christina Shusho

Muimbieni Bwana wimbo mpya Maana ametenda mambo ya ajabu Muimbieni Bwana wimbo mpya Maana ametenda mambo ya ajabu Muimbieni Bwana wimbo mpya Maana ametenda mambo ya ajabu Muimbieni Bwana wimbo mpya Maana ametenda mambo ya ajabu Song by Christina Shusho

Nimuone Yesu Lyrics – Christina Shusho

Nataka nikuone Yesu Karibu kwangu karibu Yesu Halleluyah Nataka nimuone Yesu Nataka nimuone Yesu Nataka nimuone Yesu Nataka nikuone Nataka nimuone Yesu Nataka nimuone Yesu Nataka nimuone Yesu Nataka nimuone Nataka nimuone Yesu Nataka nimuone Yesu Nataka nimuone Yesu Nataka nikuone Nataka nimuone Yesu Nataka nimuone Yesu Nataka nimuone Yesu Nataka nimuone Song by Christina … Read more

Pendo La Mungu Lyrics – Christina Shusho

Naona pendo kubwa mimi Latoka kwa mwokozi wangu Nipe kama maji mengi Yatembeavyo baharini Lanitolea tumaini Yakwamba nitajua Mungu Na niwe Mungu hodari tena Kwa pendo kubwa la mwokozi Lanitolea tumaini Yakwamba nitajua Mungu Na niwe Mungu hodari tena Kwa pendo kubwa la mwokozi Song by Christina Shusho

Yesu Yu Mwema Lyrics – Christina Shusho

U mwema baba, umwema Yesu Umwema mwokozi wangu U mwema baba, umwema Yesu Umwema mwokozi wangu U mwema baba, umwema Yesu Umwema mwokozi wangu U mwema baba, umwema Yesu Umwema mwokozi wangu U mwema baba, umwema Yesu Umwema mwokozi wangu U mwema baba, umwema Yesu Umwema mwokozi wangu Ni nani awezaye kusimama mbele yako Ni … Read more

Songa Mbele Lyrics – Christina Shusho

Songa mbele, twende mbingu Songa mbele usirudi nyuma Songa mbele usirudi nyuma Songa mbele usirudi nyuma Songa mbele usirudi nyuma We songa mbele twende Songa mbele usirudi nyuma Songa mbele usirudi nyuma Songa mbele usirudi nyuma Songa mbele usirudi nyuma Song by Christina Shusho

Asante Yesu Lyrics – Christina Shusho

Amen Amen, Amen Amen Amen Amen, Amen Amen Asante Yesu, Amen Amen Asante Yesu, Amen Amen Asante Yesu, Amen Amen Amen Amen, Amen Amen Amen Amen, Amen Amen Amen Amen, Amen Amen Amen Amen, Amen Amen Amen Amen, Amen Amen Amen Amen, Amen Amen Amen Amen, Amen Amen Asante Yesu, Amen Amen Asante Yesu, Amen … Read more

Nangára Lyrics – Christina Shusho

Umenifanya ning’are Umenifanya ning’are Umenifanya ning’are, Yesu Umenifanya ning’are Umenifanya ning’are Wewe umenifanya ning’are, Yesu Wewe waitwa nuru eti nuru ya watu Ukiingia kwangu, mi nang’ara Ndani ya hiyo nuru, eti kuna uzima Ukiingia kwangu, nina uzima Uso wake Yesu, aliye sura yake Mungu Umeingia kwangu, mi nang’ara Nuru ya injili, utukufu wake Kristo Umeingia … Read more

Hesabu Lyrics – Christina Shusho

Nimehesabu, Nakuhesabu Nimehesabu, Nakuhesabu Nimeongeza na kutoa Nikazidisha na kugawanya Nimeona ni wewe, Yesu ni wewe Nimeona ni wewe eh, Yesu ni wewe Hakuna mwingine ni wewe, Yesu ni wewe Pekee yako ni wewe eh, Yesu ni wewe Hesabu zote nilizofanya Nimeona ni wewe tu Pekee yako ni we Niwewe Yesu ni wewe tu Mwanzo … Read more

Sitalia Lyrics – Irene Robert Feat. Christina Shusho

Tangu nikuwe tumboni mwa mama Mungu aliniona Na licha ya mavumbu na mapito Vikwazo kila kona Wakipanga mabaya anapangua Wema na wabaya anawajua Mitego wanatega anategua Na hali si zetu anatambua Yalinitesa mawazo Mbele giza sikuiona njia Vikawa vingi vikwazo Niliumia sana Yalinitesa mawazo Mbele giza sikuiona njia Vikawa vingi vikwazo Niliumia sana Machozi yamekauka, … Read more

Nashusha Nyavu Lyrics – Christina Shusho

Alipokwisha kunena alimwambia Simoni Toweka mpaka kilindini kashushe nyavu zenyu Yesu lipokwisha kunena alimwambia Simoni Toweka mpaka kilindini kashushe nyavu zenyu Bwana mkubwa tumefanya kazi ya kutosha usiku kucha Bwana mkubwa tumefanya kazi mpaka tusipate kitu Bwana mkubwa tumefanya kazi ya kutosha usiku kucha Bwana mkubwa tumefanya kazi mpaka tusipate kitu Lakini kwa neno lako … Read more

Omba Lyrics – Ringtone Feat. Christina Shusho

Omba, omba omba omba Omba, omba omba Omba, omba omba omba Omba, omba omba Mi nataka mimi nisafishe rada (Nisafishe rada) Nimeacha mbogi niko kwa fathela (Niko kwa fathela) Mambo ya dunia nimeacha mimi (Nimeacha mimi) Kuna yule anangoja nishindwe (Ooh nishindwe) Mbona unaomba nishindwe (Mimi nishindwe) Kwani wanitakia mabaya (Wewe mabaya) Ndugu omba, oooh … Read more

Raha Lyrics – Christina Shusho feat. Dreamers Singers

Naona fahari kukuabudu Fahari kukuabudu Nasikia vizuri kuwa wako Vizuri kuwa wako Naona fahari kukuabudu Ni fahari kukuabudu Nasikia vizuri kuwa wako Eeh Yesu vizuri kuwa wako Naona fahari kutembea nawe Eeh nitembee nawe Naona fahari kukuabudu Fahari kukuabudu Nasikia vizuri kuwa wako Vizuri kuwa wako Naona raha nikuimbie Naona raha nikuchezee Naona raha nikuinue … Read more

Litapita Lyrics – Christina Shusho

[In Swahili] Nimeona hofu imetanda dunia Hofu imetanda dunia Huku na huku mambo yamebadilika Mambo ni tofauti Tamaduni zetu si kama mwanzo Si vile tulivyozoea Aliye nacho analia, asiye nacho pia analia Tajiri, masikini tumekuwa sawa Si vile tulivyozoea Refrain: Hili nalo litapita ee, litapita ee Hili litapita ee, kutapambazuka Hili nalo litapita ee, litapita … Read more

Wastahili kuabudiwa Lyrics – Christina Shusho

[Swahili] Refrain: Wakuabudiwa, wakuheshimiwa ni wewe Mungu (You are worthy of worship and Honor) Wakupewa sifa, na utukufu, ni wewe Mungu (worthy to receive all praise and glory) Mungu mwenye nguvu, wastahili heshima zote (Mighty God, you deserve all honor) Hakuna mwingine wa kulinganishwa na wewe Mungu (There’s no one like you God) (Repeat) Umesema … Read more

Relax Lyrics – Christina Shusho

[Swahili] Kurelax kurelax wee Bwana atanibariki kwa kadiri ya utajiri wake Kwa kipimo cha kujaa kusukwa sukwa hata kumwagika Atanipa mahitaji yangu kwa kadiri ya utajiri wake Kwa kipimo cha kujaa kusukwa sukwa hata kumwagika Nani apinge? alichosema Mungu Nani alaani? alichobariki Mungu Hakuna awezaye kuzuia, alichotenda Mungu Na kama kuna pando, lopandwa na mwovu, … Read more

Mwanangu Lyrics – Christina Shusho

[Swahili] Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi Wakisema njoo nasi tuvizie ili kumwaga damu Tumwote asiye na haki, mwanangu usikubali Wana maneno matamu kama asali lakini mwisho mchungu kama shubiri Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi Mwanangu usikubali wenye dhambi wakushawishi Mwanangu usiende njiani pamoja nao Usienende … Read more

Akutendee Nini Lyrics – Christina Shusho

[Swahili] Wataka akutendee nini? Akutendee nini wewe, Wataka akutende nini? Akutende nini wewe, "Neno moja nalitaka kwa Bwana nalo ni hili nikae nyumbani mwake siku zote za maisha yangu" Gala lake limejaa hakuna anayepunguza hata robo Akutende nini wewe? Wengine wataka kuwa raisi wa nchi Wengine wataka ubunge Akutendee nini wewe? Mwengine ombi lake apate … Read more

Napenda Lyrics – Christina Shusho

[Swahili] Napenda nione ukinitendea, Napenda nione ukinibariki Napenda nione ukiniinua, Kila kitu kwako mimi napenda Napenda nione ukiniponya, Napenda nione ukinifariji Napenda nione ukiniinua, Kila kitu kwako Bwana mimi napenda Napenda nione ukinitendea, Napenda nione ukinibariki Napenda nione ukiniinua, Kila kitu kwako mimi napenda Napenda nione ukiniponya, Napenda nione ukinifariji Napenda nione ukiniinua, Kila kitu … Read more

Nimehesabu Lyrics – Christina Shusho

[Swahili] Nimehesabu na kuhesabu Nimehesabu na kuhesabu Nimeongeza na kutoa Nikazidisha na kugawanya Nimeona ni wewe Yesu ni wewe tu Hakuna mwingine Yesu ni wewe tu Pekee yako ni wewe Yesu ni wewe tu Hesabu zote nilizofanya Nimeona ni wewe tu Pekee yako ni wewe Ni wewe Yesu ni wewe tu Mwanzo mwisho ni wewe … Read more

Hapo Mwanzo Lyrics – Christina Shusho

[Swahili] Hapo mwanzo kulikwa na neno naye neno alikuwa kwa mungu na tena neno huyu alikuwa mungu naye neno alifanyika mwili akaja akakaa kwetu tukauona utukufu wake mwana kondoo yohana alimwona amevikwa vazi lilichovya katika damu na jina lake lilikua mwana wa mungu Song by Christina Shusho

Ongoza Hatua Zangu Lyrics – Christina Shusho

[Swahili] Hatua za mwenye haki zaongozwa naye Bwana Na Bwana hufurahia njia zake wakati wote Hatua za mwenye haki zaongozwa naye Bwana Na Bwana hufurahia njia zake wakati wote Nakukabidhi Bwana njia zangu zote Pia nakutumaini, najua Bwana utafanya Hata nijapojikwa sitaanguka chini Bwana utanishika mkono na kunitengeneza Nakukabidhi Bwana njia zangu zote Pia nakutumaini, … Read more

Wa Kuabudiwa Lyrics – Christina Shusho

[Swahili] Wakuabudiwa, wakuheshimiwa ni wewe mungu Wakupewa sifa, na utukufu ni wewe mungu Mungu mwenye nguvu, wastahili heshima zote Hakuna mwingine, wakulinganishwa na wewe mungu (rudia) Umesema wewe, jina lako liko na liko niwe mungu Unafanya mambo, yaliyo juu ya fahamu zetu mungu Ukisema ndio, nani awezaye kupinga hakuna Wewe unatupa, kushinda na zaidi ya … Read more

Ninanga'ra Lyrics – Christina Shusho

[In Swahili] Refrain: Umenifanya ning’are, umenifanya ning’are (You make me shine) Umenifanya ning’are, Yesu (Jesus You make me shine)(Repeat) Wewe waitwa nuru, eti nuru ya watu (You are called the light of men) Ukiingia kwangu, mi nang’ara (I shine when you are in me) Ndani ya hiyo nuru, eti kuna uzima (There is life in … Read more

Unikumbuke Lyrics – Christina Shusho

[In Swahili] Unikumbuke Baba, (Father remember me) Unapowazuru wengine naomba unikumbuke (When you visit others I pray – remember me) Usinipite Yesu (Do not pass me by Jesus) Unapowazuru wengine naomba unikumbuke (When you visit others I pray – remember me) Unikumbuke (Remember me) x2 Yesu naomba unikumbuke (Jesus I pray, remember me) (Repeat) Usinipite … Read more

Mifupa Mikavu Lyrics – Christina Shusho

[In Swahili] Ezekieli akiwa katika Roho (Ezekiel when in a vision) Bwana akamweka chini (God placed him down) Katika bonde nalo limejaa mifupa (In a valley full of bones) Kamwambia Ezekieli “Je mifupa yaweza kuishi?” (He asked Ezekiel “Is it possible for the bones to live?”) Naye akajibu, “ee Bwana waijua wewe” (And he replied, … Read more

Yote Alimaliza Lyrics – Christina Shuhso

[In Swahili] Refrain:Yote alimaliza, yote msalabani(He finished all at the cross) (Repeat) Response: The RefrainDhiki zetu zote, alimaliza yote msalabani(All our troubles he finished it at the Cross)Vilio vyetu vyote, alimaliza yote msalabani(All our cries, he finished it all at the cross)Yote alimaliza, alimaliza yote msalabani(He finished all at the cross)Bwana wangu Yesu, alimaliza yote … Read more

Nitendee Lyrics – Christina Shusho

[In Swahili] Refrain: Nitendee (Do unto me) x4 Nitendee, Nitendee eh Bwana (Do unto me, Lord) Nitendee, Nitendee (Do unto me) Nitendee Bwana (Do unto me Lord) x2 Nitendee nalia, nangoja (Do unto me I cry, I wait) Nitendee, Nitendee (Do unto me) Response: Refrain Nitendee, Bwana tenda (Do unto me, Lord do it) Usinyamaze … Read more