[Swahili]
Verse 1:
Nafurahia mateso yangu, nafurahia mateso yangu
Ujapoharibika mwili huu, tapata mwingine kwa Baba
Ujapoharibika mwili huu, tapata mwingine kwa Baba
Chorus:
Nakaza mwendo, nifike Mbinguni
Nayakabidhi, maisha kwa Bwana
Nauone, uzuri wa bwana x2
Taabu na matatizo, hakuna
Kiu wala njaa, hakuna x2
Verse 2:
Lakini mji ule taa yake, ni mwana kondoo
Milele mji ule hauitaji, jua wala mwezi
Najua kuishi kwangu ni pigo, kufa ni faida
(Chorus)
Verse 3:
Lakini waongo na wazinzi, hawataingia
wala waabudu sanamu, hawataingia x2
Najua kuishi kwangu ni pigo, kufa ni faida
(Chorus)
Song by Rose Muhando