Amenijibu Lyrics – Gripa Music Feat. Beda Andrew

Jamani nina ushuhuda Mwenzenu nataka shuhudia Huyu Mungu ninaye muamini Alichonitenda nashindwa elezea Kwa muda mrefu nimekuwa nikiomba Nikiamini atatenda kwa wakati wake ee Sababu hawahi wala hachelewi Akiahidi lazima atende Yeye ni Mungu wa nyakati Mungu wa majira Tena majira sahihi Jamani namuamini Kwa muda mrefu nimekuwa nikiomba Nikiamini atatenda Na kweli amenijibu Niliomuomba, … Read more

Nguvu Za Mungu Lyrics – Beda Andrew

Rafiki hivi unavyoniona Ni kwa neema tu Na hata uzima nilio nao Ni upendeleo tu Na kufika hapa sio sababu ya kuwa Mimi ni mwema sana (Kuliko wale) Tena natambua kama si wake mkono Ningeshatumbukia shimoni na nipotee Ninalindwa, kwa nguvu za Mungu Ni kwa nguvu za Mungu Si kwa ujanja wala akili zangu Ila … Read more

Happy Happy Lyrics – Beda Andrew

Am happy happy the way you love me This kind of love nobody can give The way you do me do me nobody can do I am forever indebted to you…eeeeeh eeeeh Si lanitosha pendo lako la ajabu Pendo lisilo kifani I wanna give you the glory I wanna give you the Glory I wanna … Read more

Nayaweza Lyrics – Beda Andrew

Baba amesema kwamba, tumwite nae atasikia Tena amesema kwamba tukimwomba jambo atatutendea Baba amesema kwamba, tumwite nae atasikia Tena amesema kwamba tukimwomba jambo atatutendea Ila tuwe na imani nayeye Tukiamini anaweza yote eeeeh Mwenye hofu ajigange moyo Akiamini Mungu yupo Huku tukifanya kazi Tukipambana tukipambana Tukimwamini wetu mwokozi Yesu wa maana ashushae baraka aaah aaah … Read more

Mbali Sana Lyrics – Beda Andrew

Na na na na… Nalikuwa sijiwezi unyonge ulinilemea Sikuwa na tumaini ya mbele kuendelea Imani ilififia sikuona kabisa Kama moja ya nyenzo iliyotikisika aah Nalikosa tabasamu usoni Tegemeo sikuona maishani Nikashindwa endelea mbele Hali iliyofanya nikwame kule Ulikonitoa ni mbali sana Ni kweli umenikomboa nashukuru sana Ulikonitoa ni mbali sana Ukanikomboa na zile laana Mbali … Read more