Mureke Mukude Lyrics – Ambassadors of Christ Choir

[Sung in Kinyarwanda] Pre-Refrain: Njye mureke mukunde (Let me love Him) Yesu mwiza cyane (Precious Jesus) (Repeat) Repeat: Pre-Refrain Hallelujah, Hallelujah Yesu mwiza, Yesu mwiza (PRecious Hesus Nzamukunda njye nzamukunda (Let me love Him) Hallelujah, uwo Yesu mwiza cyane (Hallelujah to precious Jesus) Refrain: Njye mureke mukunde (Oh, Let me love Him) Nzamushima iteka (My … Read more

Nahuye Na Messiya Lyrics – Ambassadors Of Christ Choir

Ku iriba umusamariyakazi Yahinze umushyitsi ooohh Ubwo yahuraga n’umuyuda Umuyuda amuganiriza neza Byari ibintu bidasanzwe Umuyuda kuvugana N’umusamariya neza Bahoraga bahanganye bakarangwa Na makimbirirane yurudaca aaahh Uyu wari umwanya udasanzwe Mu mibereho yurya mugore Maze biba akarusho Ubwo yamenyaga yuko Adahuye n’umuyuda usanzwe Ahubwo ko ahuye na Mesiya Bimwanga munda Kwifata biramugora Azamuka umudugudu asakuza … Read more

Tumetoka Mbali Lyrics – Ambassadors Of Christ Choir

Tunao ushuhuda wakutosha Kwamba mungu mwenyene Kwa mkono wake Ametuleta umbali huu Akitubembeleza Taratibu bila haraka ooh Mungu wetu hutenda taratibu Lakini kwa uhakika Kwa uhakika Chorus: Hakika tumetoka mbali Mbali sana hata twashanga Tulivyo fika hapa Asinge kuwa yeye mungu wetu Tungeweza nini(Tungeweza) nini Basi hatuna budi kusimama Mbele yamataifa tukishuhudia Ooohh kwamba mungu … Read more

Uumbyeyi Gito Lyrics – Ambassadors Of Christ Choir

Tekereza ushyire mu gaciro (ohohohoh) Tekereza urya mubyeyi Wivukije imibereho myiza Atanga utwo atunze twose Ashakira umwana we imikurire (Ohohohohohohohohohoh) Ararara amajoro aririra Imana Ngoyihange mu busa busa bwe Imuzigamir’isarura ryiza Maze umwana we azabehoneza (Ohohohohohohohohoh) CHORUS Birababaje ukuntu bamwe Tujya twiyibagiza aah Yuko twese Imana idutezeho Umutekano wimikurize y’abana Bose mu muryango Kugeza naho … Read more

Nirehemu Baba Yangu Lyrics – Ambassadors Of Christ Choir

Aliniona bwana akaniwaza kuwa mwaminifu Akatunza neno lake ndani ya mwoyo wangu Kaufunguwa upendo wake wa thamani Na kunipenda mimi Maana aliniwaza kuwa mtu apendekae Ole wangu bwana wangu uuh Nimara ngapi nime kuvunja moyo Nimara ngapi nimekuabisha Nina majonzi mengi moyoni baba maana Sikuenenda sawa na mapenzi yako nani ataniponya haah isipo kuwa wewe … Read more

Nashimwe Lyrics – Ambassadors of Christ Choir

Ndabivuga nkongera nkabisubiramo Bwacya mu gitondo nkavuga ibyo Ku manywa na nimugoroba Na nijoro Ibyo mvuga n’ibyo ndirimba Ndetse umutima wanjye udahwema kuzirikana Ni ugushimira umwami wanjye Kubw’ ineza ye angiriria Ese mvuge iki kindi bagenzi Uretse gushimira umwami wanjye Nta kindi kiruta kuzamura Amashimwe ku uwiteka Kubw’ ineza angiriria Nzaririmba indirimbo z’amashimwe Nsuke umutima … Read more

Tuombeane Lyrics – Ambassadors of Christ Choir

[Swahili] Je, umekumbuka kumuombea (Have you remembered to pray) yule umpendaye? (for a loved one?) Jamani twazingirwa na maovu mengi (We are surrounded by much evil) Kwa hiyo inatupasa, kuombeana sana (So we need to pray for each other) Mtoto wako, atoka asubuhi sana (Your child leaves early in the morning) Kwenda shule, sokoni na … Read more

Nimekupata Yesu Lyrics – Ambassadors of Christ Choir

[Swahili] Nimekupata yesu, nimepata yote, Nimekupata bwana, sitahitaji tena aah, Wewe ndiwe hitaji langu, Ngome yangu na mwamba tengemeo langu katika hali jaza moyo wangu, upendo nikupende, U rafiki wa kweli, nifundishe kupenda aah,bwana, maana upendo wako, ndio pekee waweza, Kunifanya kiumbe kipya nikakufuate Natamani nitembee katika upendo wa bwana, Upendo ule wa dhati, upendo … Read more

Kwetu Pazuri Lyrics – Ambassadors of Christ Choir

[Swahili] Ninayo hamu kurudi nyumbani Nyumbani kwetu ambapo hatutatengana Hapo nyumbani kwetu hakuna makaburi Wala hakuna vyandarua maana hakuna malaria Kwetu ni pazuri ni pazuri nakuambia Najua nawe ndugu yangu unayo hamu ya kufika huko Kwetu pazuri nimeshapakumbuka Ninayo hamu kuishi na mwokozi wangu Kwa amani na furaha tena ya ajabu Sipati picha kwa watakaofika … Read more

Mtegemee Yesu Lyrics – Ambassadors Of Christ Choir

[Swahili] Mambo mengi yakupata ndugu yanayokuumiza moyo hata ukimwomba Mungu waona kama vile amekutenga Maisha magumu shida tupu wapepeshwa dunia nzima unapapasa hapa na pale bila kupata msaada umeanza kukata tamaa, imani yako inayumbayumba unajisikia upweke, umeachwa kama yatima utokako ni mbali sana, kiasi kwamba huwezi rudi mbele huenda kunako giza, umekosa matumaini; magumu shida … Read more

Moyoni Mwangu Lyrics – Ambassadors of Christ Choir

[Swahili] Moyoni mwangu ninashukuru jina lake Bwana Na roho yangu inafurahi kwa sababu ya pendo lake Alitupenda sisi wandamu ooh alitupenda Akamtuma Yesu mwanawe aje atuokoe Ooh Mungu Wangu Mungu wangu Bwana Wangu, Ulipenda ulimwengu Ukamtuma mwana wako, aje atukomboe Nasi tunakushukuru sababu ya pendo lako x2 Tangu sasa watu wa dunia wamshukuru Mungu Ametimiza … Read more

Parapanda ya Bwana (The Lord’s Trumpet) Lyrics – Ambassadors of Christ Choir

Song Lyrics in Swahili: Parapanda ya Bwana ii karibu (The Lord’s trumpet is near) Parapanda karibu kusikika (The trumpet shall be heard soon) Wazima wote watasikia (All who live shall hear it) Na waliokufa wote wafufuke (Those who are dead shall rise) Walomsubiri watavikwa taji zilizong’aa (Those who waited for Him will be crowned) Bali … Read more