Unaniboo Lyrics – Mwana Mtule
Ibilisi mapembe 40 hebu niacheUnapenda mi na Mungu tukosaneUna wivu mbaya wewe ushindweSiwezi aminia wewe, wewe ni bure Nampenda zambe mkweliSio kama wewe mtapeliAcha kunifuata sijakupa kazi ya ulinziAcha kunidanganya hujanifunza mziki Mbinguni ulishindwa kumpigia Mungu mavocalsSi unataka tufanye collabo tuharibu jameni Ah ah ah ninakuchukiaAh ah ah unavyonichukiaAh ah ah ninakuchukiaAh ah ah unavyonichukia … Read more