Unaniboo Lyrics – Mwana Mtule

Ibilisi mapembe 40 hebu niacheUnapenda mi na Mungu tukosaneUna wivu mbaya wewe ushindweSiwezi aminia wewe, wewe ni bure Nampenda zambe mkweliSio kama wewe mtapeliAcha kunifuata sijakupa kazi ya ulinziAcha kunidanganya hujanifunza mziki Mbinguni ulishindwa kumpigia Mungu mavocalsSi unataka tufanye collabo tuharibu jameni Ah ah ah ninakuchukiaAh ah ah unavyonichukiaAh ah ah ninakuchukiaAh ah ah unavyonichukia … Read more

Imebaki Tu Wewe Lyrics – Mwana Mtule

Only love, only love with you I wanna share with my love Am longing to share with my love (Alexis on the Beat) Mungu amenifunza kupenda Amenituma Mungu nikupende we Nisikutese nisikucheze Ameniruhusu kuishi na wewe Yes mpenzi Kwenye shida na raha Atatulinda sote (Amesema hivyo) Tusiwe na papara Atatuongoza milele Nipende nikupende, tupendane Atujazie … Read more

Tusipeane Masifa Lyrics – Mwana Mtule

Rafiki rafiki yangu Nina jambo napenda nikueleze Na kama nitakuudhi nakuomba nisamehe Ni jambo kuhusu sifa, usinipe masifa Mungu ndiye wa masifa tumpe zetu sifa Rafiki yangu unanishangaza sama Leo unanisifu kesho unanisengenya Ah sio vizuri, sio vizuri Sitaki zako sifa (Sitaki) Nikikugawia pesa unaniita mfalme Nikikosa cha kukupea unanitukana mshenzi Peke yangu no no … Read more

Only You God Lyrics – Mwana Mtule

Thank you Lord for this life No regret mambo ni fine Wabariki wangu wazazi Kwa kazi nzuri walifanya kunizaa Asante sana Mungu Baba Umenionyesha dunia You are my hero, you are my hero Kule umenitoa ni mbali Sijasahau Mwenyezi Nikitembea bila champali Hizo siku nikiitwa chizi Kule umenitoa ni mbali Sijasahau Mwenyezi Nikitembea bila champali … Read more

Kila Siku Lyrics – Mwana Mtule

Alpha Mwana Mtule Main Switch yeah… Skuizi ukikosa namna marafiki wanakutoroka Shida ni kiboa tumeshindwa hata na kufikiria Na kwa wale hatujasoma Kazi ya ofisi kwetu ni noma Labda tuwai vibarua Tuchape kazi ndiyo tupate unga aaaaaa Ila wenzangu hiyo Isifanye tuchoke kwa njia Tumwombe mungu atuongoze ehh… Tusije anguka juu Chorus: Kila siku Tunajaribu … Read more