Tawala Lyrics – Ben Cyco Feat. Karwirwa Laura

Ni Cyco na Laura Bwana we ni dereva Endesha na maisha yangu Chukua na usukani Bwana tawala Bwana we ni mchungaji Ongoza mwana wako Nishikilie mkono Bwana tawala Wewe ni amani ya moyo wangu Chaguo la moyo wangu Wewe ni kila kitu changu Wewe ni amani ya moyo wangu Chaguo la moyo wangu Wewe ni … Read more

Sawa Sawa (Better) Lyrics – Karwirwa Laura

Hapa nilipofika sijui nimefikaje Vita vilinipiga kwani kuliendaje Lakini yamepita yamekwisha Never will I ever cry again 1 time for my God ooh yeah Hajawai badilika 2 time for imani, imani Imenishikilia 3 time for neno neno Oh yeah limeniangazia Analo lengo lengo oh oh oh Atanitimizia Sawasawa, sawasawa It’s gonna get better It’s gonna … Read more

Pambazuka Lyrics – Karwirwa Laura Feat. Bire, Raygee (George), Chuchu

Giza ni jingi kabla ya kucha Na hata sasa kutapambazuka Mambo haya ni kwa muda Janga hili litapita Kutapambazuka, pambazuka Pambazuka aaah Kenya tutainuka, tutainuka Tutainuka na kunawiri Tumwamini Mungu, ye huwa hashindwi Kwa pamoja tutapata ushindi Tusimame wima, daima sisi Wakenya Nyota yetu tena, itang’aa Kutapambazuka, pambazuka Pambazuka aaah Kenya tutainuka, tutainuka Tutainuka na … Read more

Ujulikane Lyrics – Karwirwa Laura

[Swahili] Nisijione mkamilifu kwa nguvu yangu Nitaweza pekee yangu Nisiamini hekima yangu Juhudi zangu, nikutazamie Mungu Watakao nisikia wakinishangilia, Niwaelekeze kwako ooh Watakaonifuata nikikufuata, tuje kwako Na chochote kile itaenda sawa Sio mimi ni wewe ujulikane Na popote pale nitaenda baba Sio mimi ni wewe ujulikane Ujulikane ujulikane Ewe Yesu ujulikane Ujulikane ujulikane Ewe Yesu … Read more