Sitalia Lyrics – Irene Robert Feat. Christina Shusho

Tangu nikuwe tumboni mwa mama Mungu aliniona Na licha ya mavumbu na mapito Vikwazo kila kona Wakipanga mabaya anapangua Wema na wabaya anawajua Mitego wanatega anategua Na hali si zetu anatambua Yalinitesa mawazo Mbele giza sikuiona njia Vikawa vingi vikwazo Niliumia sana Yalinitesa mawazo Mbele giza sikuiona njia Vikawa vingi vikwazo Niliumia sana Machozi yamekauka, … Read more

Vilevile Lyrics – Irene Robert

Kabla sijakupata Niiupa imani moyo utulie Sa niko hapa Ni kwa nguvu zako tu Niliteseka sana Baba ukaniona Fedheha ukaondoa Maombi ukayajibu Umetenda kwa ukuu Bwana(Umetenda) Na ukweli sikutegemea(Sikutegemea) Umetenda kwa ukuu Bwana(Umetenda) Na ukweli sikutegemea(Sikutegemea) Sikubaki vile vile, vile vile Vile vile, vile vile Nilipokuomba ulinijibu, ukajibu maombi yangu Maombi yangu uliyajibu, ukajibu maombi … Read more