Tunakuabudu Lyrics – Dan Em

[Swahili] Tunakuabudu Bwana Tunakuabudu. Tunakuabudu Jehovah Tunakuabudu. Tukisema Wastahili ewe Bwana Wastahili ewe Bwaa Wastahili ewe Bwana Kupokea Utukufu. Tunakuinua Bwana Tunauinuia Tunakubariki Bwana Tunakukubariki Tunakuheshimu Bwana Tunakuheshimu Wastahili ewe Bwana Wastahili ewe Bwana Wastahili ewe Bwana Kupokea Utukufu. Song by Dan Em

Kama Sio Wewe Lyrics – Dan Em

[Swahili] kama sio wewe ningekuwa wapi mimi kama sio wewe ningekuwa wapi mimi ningekuwa wapi mimi kama sio wewe ningekuwa wapi mimi kama sio wewe ningekuwa wapi mimi ningekuwa wapi mimi Umejawa na rehema, na nehema tele kwa wema wako bwana, leo nimeokolewa kwa huruma zako nyingi,mimi nimesamehewa na kwa pendo lako kuu, mimi nimekombolewa … Read more

Hakuna Wa Kufanana Lyrics – Dan Em

[Swahili] Hallelujah, Hallelujah, Hallelujah Refrain: Hakuna wa kufana naye (There is no one like Him) Hakuna wa kufanana na Yesu (There’s no one like Jesus) Hakuna wa kulinganishwa nawe (No-one to be compared to you) Hakuna mwingine kama wewe Bwana (No one like you Lord) Hakuna duniani kote Baba (No one in all the world … Read more

Ainuliwe Lyrics – Dan Em

[Swahili] Ainuliwe ainuliwe ainuliwe Yesu Ainuliwe Baba ainuliwe ainuliwe Jehovah ainuliwe Ainuliwe ainuliwe ainuliwe Yesu Mbinguni na duniani Ainuliwe ainuliwe ainuliwe Yesu Ainuliwe Mungu wa Miungu Wewe ni Jehovah shammah, nasema ainuliwe Wewe ndiye mwanzo, tena mwisho Wewe ndiye Alfa na Omega ainuliwe Ainuliwe ainuliwe ainuliwe Yesu Hakuna kama yeye, Mungu aliyetupenda Yeye ndiye Bwana, … Read more