Nasema Asante Lyrics – Chris Mwahangila
Huu wimbo ni wimbo wa shukurani Usikie Mungu wangu Niseme nini kwako? Nilipe nini kwako Sina cha kulipa mbele zako Mungu wangu Huu wimbo, huu wimbo Ni shukurani ni shukurani Kwako Baba yangu Asante Bwana, asante Bwana Nasema asante, nasema asante Nasema asante ewe Mungu wangu Nasema asante, nasema asante Nasema asante ewe Mungu wangu … Read more