Tanzania Lyrics – Walter Chilambo Feat. Asagwile Mwasongwe

Eh Mungu asante
kwa nchi yetu Tanzania (Asante)
Ni wewe uliyeumba mataifa yote
Ikiwemo Tanzania

Umetubariki umoja na amani
Uzalendo mshikamano
Kama bendera inavyopepea
Ni ishara ya kwamba Tanzania ni ya amani


Ni wewe uliyeumba ndege na wanyama
Bahari na uoto wa asili na milima
Ukatupa amani na uhuru Tanzania
Ukatupa ujasiri, na viongozi mahiri

Najivunia kuwa Mtanzania(Najivunia mtanzania)
Najivunia kuwa Mtanzania (Mtanzania halisi eeh)
Najivunia kuwa Tanzania
Najivunia kuwa Tanzania (Nchi nzuri salama)
Nchi yangu

Amani tuliyonayo ooh
Wengine hawana (Hawana)
Umoja tulio nao
Wengine hawana (Hawana)

Hata madini ya tanzanite
Huwezi pata mahali pengine
Nje ya Tanzania hakuna

Mlima mrefu Kilimanjaro
Baraka ya Tanzania
Tunajivunia eeh

Ni wewe uliyeumba ndege na wanyama
Bahari na uoto wa asili na milima
Ukatupa amani na uhuru Tanzania
Ukatupa ujasiri, na viongozi mahiri

Najivunia kuwa Mtanzania (Najivunia mtanzania)
Najivunia kuwa Mtanzania (Nchi yenye amani na upendo)
Najivunia kuwa Tanzania (Tanzania salama eeh)
Najivunia kuwa Tanzania (Nakupenda Tanzaniia)

Najivunia kuwa Mtanzania (Mimi mtanzania)
Najivunia kuwa Mtanzania (Taifa langu salama)
Najivunia kuwa Tanzania (Najivunia kuwa tanzania)
Najivunia kuwa Tanzania (Eeh nchi yangu)

Tanzania, Tanzania, Tanzania
Tanzania, Tanzania, Tanzania

Song by Walter Chilambo Featuring Asagwile Mwasongwe