Yahweh Lyrics – Denno feat. Danco

Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele

Upendo gani huo, Baba ulinipenda nao
Hata ukamtoa mwanao Yesu
Azaliwe kama mwanadamu afe msalabani
Aniokoe mimi, mwenye dhambi eeh


Niseme nini eeh Baba
Niseme nini ila niseme uinuliwe
Niseme nini eeh Baba
Niseme nini ila niseme uinuliwe

Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele

Relax, sikiza nikueleze
Ni kama sina akili mi
Kila nikifanikiwa
Wananyakua chini chini

Relax, sikiza nimwambie eh
Watu watabonga mengi
Nilipokosana na mchumba
Walidhani nimechizi

Niseme nini mimi?
Nimechoshwa walimwengu
Nimejaribu kujinyamazia
Lakini bado naumia

Nifanye nini mimi
Nawachia Maulana
Yeye alisema atanipigania
Na haya yote namuachia eh eh

Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele

Imba tena Yahweh

Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele

Umevikwa utukufu na heshima
Nguvu na uweza
Kila goti litakunjwa
Na kila ulimi utakiri wewe ni Mungu

Uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele

Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele

Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele

Song by Denno feat. Danco