Vilevile Lyrics – Irene Robert

Kabla sijakupata
Niiupa imani moyo utulie
Sa niko hapa
Ni kwa nguvu zako tu

Niliteseka sana
Baba ukaniona
Fedheha ukaondoa
Maombi ukayajibu


Umetenda kwa ukuu Bwana(Umetenda)
Na ukweli sikutegemea(Sikutegemea)
Umetenda kwa ukuu Bwana(Umetenda)
Na ukweli sikutegemea(Sikutegemea)

Sikubaki vile vile, vile vile
Vile vile, vile vile
Nilipokuomba ulinijibu, ukajibu maombi yangu
Maombi yangu uliyajibu, ukajibu maombi yangu

Sikubaki vile vile, vile vile
Vile vile, vile vile
Nilipokuomba ulinijibu, ukajibu maombi yangu
Maombi yangu uliyajibu, ukajibu maombi yangu

Uliniambia tulia son nina plans nawe
Sa hiyo nachomeka kwa sun sikuchoka nawe
Walikuwa wananicheka sana, maisha inakosa maana
I can remember we ndo ulipewa na Waisraeli maana

Najivunia kuwa nawe Bwana
Nilipata ushuhuda nina mwana
Umejibu maombi yangu sikubaki vile yeah…

Mungu wa ajabu(Ajabu)
Mungu wa milele(Milele)…

Sikubaki vile vile, vile vile
Vile vile, vile vile
Nilipokuomba ulinijibu, ukajibu maombi yangu
Maombi yangu uliyajibu, ukajibu maombi yangu

Sikubaki vile vile, vile vile
Vile vile, vile vile
Nilipokuomba ulinijibu, ukajibu maombi yangu
Maombi yangu uliyajibu, ukajibu maombi yangu

Song by Irene Robert feat. Guardian Angel, Levixone, and Gaby Kamanzi