Nakupa Moyo Lyrics – Denno

Umenena eeh mmmh
Eeeh mmmh

Uliponitoa ni mbali
Kwenye panda shuka za maisha
Kwenye mvua na jua kali
Kivulini ukaniweka


Kwenye juhudi za kutafuta shillingi
Hukuninyima
Tena kwa taabu nikitafuta riziki
Ukaniinua Baba

Wacha nikusifu kwa lugha nyingi
Wote wasikie
Ero kamano Nyasae
Mukama e ma simwe

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nyumbani kazini
Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Sio nyumbani sio kazini Baba
Chukua moyo Yesu wangu

Nipigwe na mawimbi, aaah mmh
Unanilinda siamini eeh

Mulinda wanje, Nyasae wanje
Reke nguinere
Maweko maku, ni magegetie
Reke nguinere

Umenifinyanga siamini
Yesu wangu
Umenibeba angani mimi

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nyumbani kazini
Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Sio nyumbani sio kazini Baba
Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nyumbani kazini
Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Sio nyumbani sio kazini Baba
Chukua moyo Yesu wangu

Song by Denno